Nkurumah Street PO BOX 543 MWANZA Tel: +255 282500733 Fax: +255 282541484 Email:mwanza@tfda.or.tz

UKIUKWAJI WA UENDESHAJI WA BIASHARA YA DAWA


Ukiukwaji wa uendeshaji wa biashara ya dawa kiasi ambacho huduma za matibabu hutolewa katika maduka ya dawa ulipelekea mpango wa maduka ya dawa muhimu ambapo zaidi ya kwamba maduka haya kisheria yataweza kuuza baadhi ya dawa za cheti lakini pia watoa dawa watasoma na kuelewa umuhimu wa kufuata taratibu katika kuendesha biashara ya duka la dawa ambapo vitendo kama hivi katika picha vitatokomea kabisa.
Pichani ni duka moja Mkoani Kagera wilayani Karagwe likiwa na vifaa tiba vitendanishi na pia sindano iliyotoka kutumika kwa mgonjwa pembeni yake ilikutwa chupa ya penadur ikiwa imetoka kutumika.Duka husika lilifungwa.

No comments

Post a Comment

Powered by Blogger.