Kiwanda kimoja cha Biscuits Mwanza Mjini kilikutwa kinapaka rangi baadhi ya kuta zake eneo la uzalishaji wakati shughuli za uzalishaji wa biskuti zikiwa zinaendelea.Kiwanda husika kilifungwa na kutakiwa kumaliza shughuli za kupaka rangi kabla uzalishaji haujaendelea.Pembeni ni makreti ya biskuits ambazo zilizuiliwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Powered by Blogger.
No comments
Post a Comment