Nkurumah Street PO BOX 543 MWANZA Tel: +255 282500733 Fax: +255 282541484 Email:mwanza@tfda.or.tz

SHEHENA YA VIPODOZI VILIVYOPIGWA MARUFUKU KUTOKA NJE YA NCHI VIMEKAMATWA JIJINI MWANZA



Mkaguzi wa Dawa wa Ofisi ya Kanda ya Ziwa akiwa anaorodhesha bidhaa za vipodozi vilivyopigwa marufuku kufuatia kukamatwa kwa gari ambalo lilikua lina mzigo huo ukiwa umeingia nchini. Shehena hiyo ya vipodozi hivyo ilikua inaandaliwa kusafirishwa kwenda Jijini Dar es salaam.
Vipodozi vyote vilikamatwa na wakaguzi na zoezi la uteketezaji linaandaliwa kufanyika katika Dampo ya Buhongwa tarehe 24 Aprili 2013

No comments

Post a Comment

Powered by Blogger.