Shehena ya vipodozi vyenye viambata vya sumu vikiwa vinataka kusafirishwa kwenda Dar es salaam
Posted by tfdaakezone
Vipodozi vyenye viambata vya sumu vikiwa katika lori tayari kusafirishwa kwenda Dar es salaam. Vipodozi hivyo vilikamatwa na wakaguzi kufuatia msako mkali unaoendelea wa kukamata bidhaa zote za chakula,Dawa ,Vipodozi na Vifaa tiba ambazo hazijakidhi matakwa ya Sheria ya Chakula ,Dawa na Vipodozi namba 1 ya Mwaka 2003.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Powered by Blogger.
No comments
Post a Comment