Nkurumah Street PO BOX 543 MWANZA Tel: +255 282500733 Fax: +255 282541484 Email:mwanza@tfda.or.tz

Shehena ya vipodozi vyenye viambata vya sumu vikiwa vinataka kusafirishwa kwenda Dar es salaam


Vipodozi vyenye viambata vya sumu vikiwa katika lori tayari kusafirishwa kwenda Dar es salaam. Vipodozi hivyo vilikamatwa na wakaguzi kufuatia msako mkali unaoendelea wa kukamata bidhaa zote za chakula,Dawa ,Vipodozi na Vifaa tiba ambazo hazijakidhi matakwa ya Sheria ya Chakula ,Dawa na Vipodozi namba 1 ya Mwaka 2003.

No comments

Post a Comment

Powered by Blogger.