Nkurumah Street PO BOX 543 MWANZA Tel: +255 282500733 Fax: +255 282541484 Email:mwanza@tfda.or.tz

MKURUGENZI MKUU WA TFDA AKITOA SEMINA KWA WAANDISHI WA HABARI

Ofisi ya Kanda ya Ziwa katika kutekeleza mpango kazi wake wa mwaka 2011/2012 iliandaa semina ya waandishi wa habari kutoka katika vyombo vya habari mbalimbali katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa, ili kuweza kuwaongezea wana habari uelewa mpana kabisa katika kufahamu shughuli  za Mamlaka

Pichani ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya chakula na Dawa ,TFDA aliyesimama na pembeni yake ni Mkururgenzi wa Dawa na Vipidozi, DMC akiwa anatoa maelezo ya utangulizi katika kufungua semina hiyo  iliyofanyika katika ukumbi wa Nyakahoja,Manispaa ya Nyamagana Mwezi Julai Mwaka 2012

No comments

Post a Comment

Powered by Blogger.