Nkurumah Street PO BOX 543 MWANZA Tel: +255 282500733 Fax: +255 282541484 Email:mwanza@tfda.or.tz

TAARIFA KWA UMMA KUHUSIANA NA OPERESHENI YA DAWA DUNI/BANDIA

Ofisi ya Kanda ya Ziwa ya Mamlaka ya chakula na Dawa imekua ikipata ushirikiano mzuri sana na jeshi la polisi katika kutekeleza majukumu yake,
Pichani ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya chakula na Dawa na pembeni yake ni Aliyekuwa kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Hayati Liberatus Baro wakiwa katika shughuli ya kutoa taarifa kwa umma kuhusiana na operesheni ya dawa duni/Bandia iliyofanika katika Mkoa wa Mwanza mwezi Juni mwaka 2012.kufuatia zoezi hilo kesi 7 zilifunguliwa na watuhumiwa 13 walifikishwa mahakamani.

No comments

Post a Comment

Powered by Blogger.