Ofisi ya Kanda ya Ziwa ya Mamlaka ya chakula na Dawa imekua ikipata ushirikiano mzuri sana na jeshi la polisi katika kutekeleza majukumu yake,
Pichani ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya chakula na Dawa na pembeni yake ni Aliyekuwa kamanda wa Polisi Mkoa wa
Mwanza Hayati Liberatus Baro wakiwa katika shughuli ya kutoa taarifa kwa umma kuhusiana na operesheni ya dawa duni/Bandia iliyofanika katika Mkoa wa
Mwanza mwezi Juni mwaka 2012.kufuatia zoezi hilo kesi 7 zilifunguliwa na watuhumiwa 13 walifikishwa mahakamani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Powered by Blogger.
No comments
Post a Comment