Nkurumah Street PO BOX 543 MWANZA Tel: +255 282500733 Fax: +255 282541484 Email:mwanza@tfda.or.tz

MFANYABIASHARA ANAYEUSISHWA NA UTENGENEZAJI WA LEBO ZA DAWA NA KUTUMIKA KATIKA MAKOPO YA DAWA


Pichani ni Mfanyabiashara mmoja aliye chini ya ulinzi (pingu mkononi)  kwa vile ‘Stationery’ yake ambayo aliuziwa na mfanyabiashara mwingine ilihusishwa na vitendo vya kutengeneza lebo za dawa na kutumika katika makopo ya dawa. Mtuhumiwa huyu alitoa taarifa zilizoweza kusaidia wakaguzi kupata alikohamia  muhusika. 

No comments

Post a Comment

Powered by Blogger.