Pichani ni Mfanyabiashara mmoja aliye chini ya ulinzi (pingu mkononi) kwa vile ‘Stationery’ yake ambayo aliuziwa na mfanyabiashara mwingine ilihusishwa na vitendo vya kutengeneza lebo za dawa na kutumika katika makopo ya dawa. Mtuhumiwa huyu alitoa taarifa zilizoweza kusaidia wakaguzi kupata alikohamia muhusika.
MFANYABIASHARA ANAYEUSISHWA NA UTENGENEZAJI WA LEBO ZA DAWA NA KUTUMIKA KATIKA MAKOPO YA DAWA
Posted by tfdaakezone
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Powered by Blogger.
No comments
Post a Comment