TFDA ofisi ya Kanda ya Ziwa imeteketeza bidhaa za vipodozi,dawa,vifaa tiba na chakula visivyokidhi vigezo vya ubora baada ya kukamatwa katika soko katika ukaguzi wa dawa uliofanyika tarere 11-19 mwezi julai 2013, ukaguzi wa vipodozi uliofanyika tarehe 22-29 mwezi Julai 2013 na ukaguzi wa kawaida kwa mwezi August.
Jumla ya bidhaa zenye uzito wa Tani 3.5 na thamani ya TZS 26,647,550 ziliteketezwa katika dampo la Jiji lililoko Buhongwa katika Manispaa ya Nyamagana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Powered by Blogger.
No comments
Post a Comment