Nkurumah Street PO BOX 543 MWANZA Tel: +255 282500733 Fax: +255 282541484 Email:mwanza@tfda.or.tz

uteketezaji wa bidhaa kwa hiari


Wadau wanaojihusiha na biasahara ya bidhaa za chakula,dawa ,vifaa tiba na vipodozi wanapaswa kusalimisha kwa hiari bidhaa ambaza  hazifai kwa matumizi ,zilizokwisha muda wake na ambazo zimepungua ubora zikiwa sokoni ili kuweza kuteketezwa.
Pichani ni bidhaa za dawa na vifaa tiba za duka mojawapo la dawa Mwanza mjini zikiwa zinateketezwa chini ya usimamizi wa TFDA, TRA, Polisi n.k

No comments

Post a Comment

Powered by Blogger.