Nkurumah Street PO BOX 543 MWANZA Tel: +255 282500733 Fax: +255 282541484 Email:mwanza@tfda.or.tz

watumishi wa Ofisi ya Kanda ya Ziwa wakiwa wanajiandaa na maandamano ya siku ya wafanyakazi







Pichani Wafanyakazi wa ofisi ya Kanda ya Ziwa wakiwa mbele ya ofisi ya kanda wanajiandaa kwenda kwenye maandamano ya Siku ya wafanyakazi Mei Mosi mwaka 2013

uteketezaji wa bidhaa kwa hiari


Wadau wanaojihusiha na biasahara ya bidhaa za chakula,dawa ,vifaa tiba na vipodozi wanapaswa kusalimisha kwa hiari bidhaa ambaza  hazifai kwa matumizi ,zilizokwisha muda wake na ambazo zimepungua ubora zikiwa sokoni ili kuweza kuteketezwa.
Pichani ni bidhaa za dawa na vifaa tiba za duka mojawapo la dawa Mwanza mjini zikiwa zinateketezwa chini ya usimamizi wa TFDA, TRA, Polisi n.k

Watumishi wa TFDA ofisi ya Kanda ya Ziwa ,wakiwa katika sherehe za siku ya wafanyakazi(Mei Mosi) Katika uwanja wa CCM Kirumba.


Pichani watumishi wa ofisi ya Kanda ya Ziwa,TFDA.wakiwa katika uwanja wa CCM Kirumba katika Sikukukuu ya wafanyakazi ya Mei Mosi


Powered by Blogger.